Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chuo Cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA)

25 May, 2024

MAFUNZO

Chuo cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania TCTA kinatoa Mafunzo ya kozi mbalimbali kama vile Astashahada, Stashahada ya Taaluma ya Urekebishaji, Cheti cha Sheria, Kozi fupi za masomo ya sanaa na Kozi za Uongozi wa Jeshi la Magereza kwa ngazi na daraja mbalimbali.