Astashahada ya Sheria
ASTASHAHADA YA SHERIA
Sifa za Mwombaji
Mwombaji awe mwenye cheti cha elimu ya sekondari (CSEE) chenye ufaulu angalau alama D nne (4) katika masomo isipokuwa somo la dini
Kisha Mowmbaji atembelee tovuti ya UDSM Admission kwa ajili ya kuendelea na maombi ya Chuo.