Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Chuo Cha Taaluma ya Urekebishaji Tanzania (TCTA)

Dira na Dhima

Dira

Kuwa taasisi ya mafunzo ya kitaaluma ya kiwango cha kimataifa katika sayansi ya urekebishaji wafungwa.

Mission

Kutoa maarifa na ujuzi wa urekebishaji wa wafungwa  kupitia mafundisho, kozi fupi, tafiti na ushauri wa urekebishaji ili kuimarisha usalama wa umma.